Wednesday, May 13, 2015

PACQUIAO APOKELEWA KWAO KAMA MFALME

Mabibi na Mabwana! Pacquiao karudi kwao Ufilipino akitokea Marekani ! picha ziko hapa

pac8Bondia Pacquiao amerejia nyumbani Ufilipino baada ya kufanyiwa upasuaji wa bega huko Marekani ambapo pamoja na kushindwa Floyd Mayweather raia wa nchi hiyo walionyesha support kwake baada ya kutua.
pac5
pac10
pac3Pacquiao alionekana muda wote akiwa na furaha licha ya maumivu ya upasuaji wa bega pamoja na kutofanya kile alichokidhamiria katika pambano hilo lililoweka historia duniani lililofanyika May 2, Las Vegas, Marekani
pac2Pacquiao alipigwa kwa pointi na mpinzani wake na mara baada ya pambano kuliibuka lawama kuhusu bondia huyo kucheza huku akiwa mgonjwa
pac4
pac6
pac7
pac8
ndani

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More