Sunday, June 21, 2015

ZariIlikua ni party iliyoandaliwa na Mastaa kutoka kwenye sekta ya burudani na ikavunja rekodi ambayo haijawahi kuvunjwa Tanzania kwa kuwa na kiingilio kikubwa na bado ticket zikaisha huku party yenyewe ikinogeshwa na Diamond na mpenzi wake Zari ambaye ndio ilikua mara ya kwanza Diamond anamuita mbele ya Watanzania.
Video hii imevunja rekodi kwa kutazamwa YouTube na kugonga views zaidi ya laki tatu na elfu tisini.

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More