Saturday, April 4, 2015

TAMU NA CHUNGU…SEHEMU YA (1)



STORY HII NI YA KUTUNGA TU NA HAI HUSIANI NA MAISHA YOYOYE HARISI YA MTU MAJINA YALIYO TUMIKA NI YA KUBUNI PIA....imetungwa na kuandikwa na brian gervarce chondoma

Hii ni hadithi inayo husu utamu na machungu aliyo  yapitia kijana brian katika maisha yake,ikiwa huu ni mwanzo,mi nikiwa mtunzi nakuomba ufuatilie kwa makini hadithi hii mpaka mwisho kwani  ina mafundisho na ya kusisimua pia huenda mawili au matatu yaliyo mtokea brian yasha wahi kuku tokea wewe au jamaa yako wa karibu..utajifunza jinsi ya kuya kabiri..huyu hapa brian
……brian baada ya kumaliza darasa la saba kijijini kwao bigwa mkoani morogoro na kuto fanikiwa kufaulu kuendelea na masomo ya sekondari,mwaka wa kwanza alijishughulisha na shughuli za shambani kwa muda wa mwaka mmoja,kwa kuwa alikuwa mchapa kazi ali fanikiwa kupata mavuno ya kutosha hivyo kupata mtaji wa kufanya biashara..aliweza kusafirisha mazao yake mjini ambako alipata kujua vyema ni jinsi gani wale walio kuja kununua bidhaa zao kijijini na kuzipeleka mjini wali pata faida zaidi ya wao wenyewe wakulima
Alicho kifanya badala ya kuendelea kulima akawa anakuja kununua maazo na kupeleka mjini kuuuza na kweli ali fanikiwa kupapata kiasi cha kuweza kupanga chumba huko mjini na kuanza maisha huko mjini,katika pilika pilika zake ali kutana na jamaa ambaye alisoma nae ambaye anaitwa benson,na waka kumbushana mambo mengi ya shule,mpaka kufikia benson kumu ahidi ata mkutanisha na mwalimu wa boxing kwani ukiacha kusoma tu kwenye michezo brian alikuwa mzuri sana katika masuala ya ubondia hivyo benson ali mshauri japo umefeli shule jaribu na huu upande mwingine.
Kama alivyo mu ahidi benson ali mkutanisha mr.lazaro ambaye ana sehemu maalum ya kujifunza michezo mbalimbali,hivyo brian ali anza mazoezi na kwakuwa alikuwa na kipaji muda sio muda jina lake lika anza kuwa kubwa,na ali pigana mapambano mengi kiasi cha kufikia kupata mapambano ya kimataifa na kushinda,hivyo alikuwa mtu maarufu kwa kipindi kifupi sana…
Ilikuwa kawaida sana kuenda kumtembelea benson shuleni kwao kila ifikapo weekend na kumuachia chochote kwani kidogo alikuwa na kipato kwani alikuwa aki ingiza pesa katika mapambano ambayo ali kuwa ana pigana.
   Siku moja kama ilivyo kawaida brian alipo enda kumtembelea benson alikuta ndio siku wanayo funga shule hivyo baada ya kumaliza hatua zote za kufunga shule wali itumia siku hiyo kuenda club na ku enjoy,na siku hiyo club ya supersub djs ilijaa wana funzi kibao maana ni siku ambayo walifunga shule,hapo benson ali jisikia fahari kuwa karibu na mtu maarufu(brian) na kuwa tambulisha wanafunzi wenzake….
Pia hapo ndipo benson akatumia fulsa hiyo kumtabulisha Winnie ambaye ni girlfriend wake,pia Lydia ambaye ni rafiki wa Winnie,bila kushangaa Lydia alijisogeza karibu na brian baada ya kugundua ni mtu maarufu,hivyo hapo hapo ndio ukwa mwanzo wa mahusiano kati brian na lydia...

mahusiano hayo yali dumu kwa siri huku brian akiendelea na shughuli yake ya michezo huku Lydia akiwa shuleni mpaka lydia alipo malizqa kidato cha sita na kuanza chuo kikuu hapo ndipo brian sasa alitangaza hadharani mpaka magazetini kuwa mchumba wake ambaye ata muoa ni Lydia
Kipindi hicho Lydia yuko chua alikuwa na na rafiki mwingine uki acha Winnie kwani walichaguliwa vyuo tofauti,huyo rafiki yake alikuwa akiitwa lucy,pia alikuwa mrembo sana na alionekana kujiamini sana katika maongezi yake lakini alimuheshimu sana shemeji yake brian,kwa kuwa brian alipanga ilikuwa ni kawaida siku za weekend Lydia na lucy kuenda kumtembelea brian…
Siku moja wakiwa chuoni Lydia na lucy ghafla hali ya Lydia ika badilika na kuwa sio nzuri,Lydia ali lala mika na kusema anahisi maumivu makali ya kichwa na misuli kwa ujumla,maamuzi walio fikia ni kwamba ili kupata uangalizi mzuri inabidi Lydia arudi nyumbani kwao,waka mpigia simu brian na kumueleza aka waambia wapiti kwake ili awapatie pesa kidogo..
Wakachukua taxi na kupitia kwa brian waka ingia ndani na baada ya Lydia kumuona brian akadai anataka kupunzika kidogo hivyodereva wa taxi akalipwa na kuondoka,lucy akaingia jikoni na kuandaa chaukula wakala,brian aka muuliza Lydia hali yake na akjibu sio mbaya naweza vumilia mpaka kesho,lucy aka aga na kurudi chuoni kwao.
Baada ya mida ya saa saba usiku hali ya Lydia ikwa mbaya tena,brian akachua vidonge ambavyo ni vya kupunguza maumivu ambavo ali wahi kuvitumia wakati Fulani na kumpatia Lydia ili vimsaidie mpaka hasubuhi,ndipo waende hospitali,kweli baada ya muda Lydia alipata usingizi waka lala..ilipo fika hasubuhi brian ali amka mapema kuandaa maji ya moto kwaajili ya Lydia kuoga,kasha anywe chai waweze kuenda hospitali
Kila kitu kilipo kuwa tayari brian ali muamsha Lydia bila mafanikio kwani Lydia alikuwa tayari amesha kata roho muda mrefu sana,hakuwa ame pata nafuu alipo lala na wala haukua usingizi,dakika chache tu baada ya kutumia vile vidonge alilala moja kwa moja…haya ndugu msomaji,kipi kilicho mu ua Lydia ni kuzidiwa nahoma ,au ni vidonge alivyopewa na brian…
Kama kweli nini kita mtokea brian atashitakiwa ama itakuwaje?usikose kusoma sehemu ifuatayo ya hadithi yako tamu….tamu na chungu
Namimtunzi wako…BRIAN GERVARCE

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More