Wednesday, April 1, 2015

STEVE GERRALD BAADA YA KUONDOKA LIVER POOL

mansion3Mwishoni mwa msimu huu kiungo wa Liverpool Steven Gerrard atakuwa akiiaga timu yake hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 17 na kuhamia katika klabu mpya ya Galaxy ya Marekani ambapo ametengewa dau kubwa kwa ajili ya kwenda kuitumikia.
mansionGalaxy imemwandali kiungo huyo hatari na kipenzi cha mashabiki wengi maisha mazuri akiwa na timu hiyo ikiwa ni pamoja na mshahara mzuri na jumba la kifahari ambalo unaambiwa thamani yake ni pauni milioni 16.8.
mansion2
Steven Gerrard akiwa na familia yake
Gerrard atahama Liverpool akiwa tayari amedumu kwa miaka 17 sambamba na mkewe Alex na mabinti zake watatu katika jumba hilo lililopo kwenye ufukwe wa Malibu Magharibi mwa Marekani.
mansion3
mansion4
mansion5
mansion6

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More