Friday, November 25, 2016

Guardiola amemtaja staa wa Man City atakayekuwa nje ya uwanja kwa wiki 6


skysports-vincent-kompany-man-city-manchester_3837809“Sergio Aguero hajaumia anatatizo dogo tu katika mguu wake na Zabaleta pia tutajua tukifanya mazoezi leo, lakini Vincent Kompany atakuwa nje ya uwanja kwa wiki nne hadi sita, tuna njia nyingi za kuziba pengo lake lakini Toure pia anaweza kucheza beki wa kati

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More