12:46 PM
Dj Brian
Madee anasema amefanikiwa kutimiza ahadi yake ya kuhamia nyumbani
kwake Kimara na leo anamalizia kupanga vitu ndani ya nyumba. Kuhusu kazi
mpya ya Dogo Janja iliyotakiwa kutoka leo 23 April 2014 Madee amesema
Msiba wa Abdu Bonge ulibadilisha ratiba nyingi ndio maana
hawajakamilisha kazi za Dogo Janja
0 comments:
Post a Comment