Wednesday, May 13, 2015

MSIKILIZE Y WA MITEGO NA DIAMOND WAKI ZUNGUMZIA COLLABO YAO MPYA HAPA

8nyNey wa Mitego na Diamond May 13 wameipiga muhuri tarehe hii kwa kuingia tena kwenye headline,time hii wameamua kuachia  pamoja collabo yao ya pili ambayo walianza kuitangaza kupitia mitandao ya kijamii wiki chache zilizopita.
6nyMiongoni mwa maswali waliyoulizwa na B dozen wa  XXL ni muda walioutumia kuandaa collabo hii ambapo Diamond alijibu kuwa wimbo huu uliwachukua siku 7(wiki) muda mwingine iliwalazimu kukesha studio ili tu kuukamilisha,wimbo huo unaweza kusikilliza kupitia Mkito.com mtu wangu lakini hapa nimekurekodia interview wakati wakihojiwa.
7ny
Ubishi waliouweka kuhusu Mapenzi au Pesa ulianzia kwa maswali na hapa Diamond anaanza kuelezea namna walivyokutana na mpenzi wake Zari,

0 comments:

Post a Comment

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More